Shetani hutujaribu kupitia udhaifu wetu.
Kama tukitenda dhambi kwa sababu ya majaribu ya Shetani au uchoyo wetu wa kidunia, tunakuja kuenda mbali na wokovu wa Mungu na hatimaye kumwacha Mungu.
Waumini wa Kanisa la Mungu hufuata kielelezo cha Yesu cha kushinda majaribu ya Shetani, na kutembea njia ya imani huku wakichagua njia sahihi iliyofundishwa na Kristo Ahnsahnghong na Mungu Mama.
“Heri mtu anayevumilia wakati wa majaribu, kwa sababu akiisha kushinda hilo jaribio atapewa taji la uzima Mungu alilowaahidia . . . Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu . . . Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya. Basi ile tamaa mbaya ikishachukua mimba, huzaa dhambi, . . . huzaa mauti.”
Yakobo 1:12–15
119 Bundang S.L.P, Bundang-gu, Seongnam-si, Gyeonggi-do, Jam. ya KOREA
Simu 031-738-5999 Faksi 031738-5998
Makao Makuu: 50, Sunae-ro, Bundang-gu, Seongnam-si, Gyeonggi-do, Jamhuri ya Korea
Kanisa Kuu: 35, Sunae-ro, Bundang-gu, Seongnam-si, Gyeonggi-do, Jamhuri ya Korea
Jamii ya Misheni ya Dunia ya Kanisa la Mungu. Haki zote zimehifadhiwa. Sera ya Faragha